Mshambuliaji wa klabu ya Simba Emmanuel Okwi, ametupia picha yenye maneno yaliyoonyesha kwamba ni kama anawaaga hivi mashabiki zake.
"Goodbye is the saddest word," (kwa heri ni neno ambalo lina maumivu) ameandika Okwi.
Okwi alikuwa mfungaji bora kwa msimu wa mwaka 2017/18 alifunga mabao 20 na msimu huu ana mabao 15.
http://bit.ly/2JHhqRs
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment