Search This Blog

Friday, May 24, 2019

Picha: Wabunge wapewa Semina ya mapitio ya Bajeti Kuu ya Serikali

Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Andrew Chenge akichania jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyofanyika  kwenye  Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wakifuatila jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyotolewa na Ndg. Cliff Muga kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma



http://bit.ly/2Ew9mP1

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...