Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Kitale dhidi ya Mchungaji, Charles Nyanchwara Okere(30) aliyekuwa na hatua ya kumbaka na kumuua Mwanafunzi wa Kidato cha Nne.
Mchungaji huyo alitenda kosa hilo miaka 9 iliyopita huko Naisambu, Kaunti ya Tans Nzoia.
Imethibitika kuwa baada ya kumbaka alishikiliwa na Polisi lakini aliachiwa kwa dhamana ndipo alipomtafuta Msichana huyo aliyekuwa na ujauzito wa miezi 5 na kumuua. Mahakama imetoa siku 14 za kukata rufaa.
http://bit.ly/2wlhBsM

No comments:
Post a Comment