Search This Blog
Sunday, May 26, 2019
Kauli ya Umoja wa Ulaya kuhusu kujiuzulu kwa Waziri Mkuu wa Uingereza
Umoja wa Ulaya umesema kuwa kujiuzulu kwa Waziri Mkuu wa Uingereza hakutobadili chochote kwenye msimamo wake wa makubaliano yaliyofikiwa kuiwezesha Uingereza kujiondoa kwenye Umoja huo.
Msemaji wa Rais wa Kamisheni ya Umoja huo, Jean-Claude Junker amesema ameupokea uamuzi wa May kwa masikitiko makubwa lakini baraza la viongozi wa Umoja lilikwishaweka msimamo wake kuhusu makubaliano ya Brexit.
Theresa May alitangaza kujiuzulu baada ya kushindwa kuwashawishi Wabunge kuunga mkono mpango wa kuiondoa Uingereza kutoka Umoja wa Ulaya, Brexit.
http://bit.ly/2wjiylt
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment