Search This Blog
Sunday, May 26, 2019
Serikali yazindua mpango wa matumizi ya ardhi
Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 25/5/2019 katika Kijiji cha Sojo, Kata ya Igusule wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora.
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi aliyeambatana na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu.
Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Nishati, Mkoa wa Tabora na watendaji kutoka EACOP walihudhuria.
http://bit.ly/2QkLgvk
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment