Search This Blog

Friday, May 31, 2019

Golikipa wa Simba SC, Manula kupewa Tsh. Milioni 10 na RC Makonda


Mkuu wa Mkoa wa Dar ea Salaam, Paul Makonda ameahidi kutoa zawadi ya Tsh. milioni 10 kwa Golipika wa Simba SC, Aishi Manula na Tsh. Milioni 1 kwa wachezaji wengine ambao hapo jana walishinda kwenye MO Simba Awards 2019.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...