Search This Blog
Friday, May 31, 2019
Orodha kamili ya washindi wa MO Simba Awards 2019
Usiku wa kuamkia leo kulitolewa tuzo za Mo Simba Awards 2019 katika hoteli ya Hyatt Regency - The Kilimanjaro iliyopo Jijini Dar es Salaam. Chini ni majina ya washindi.
1. Aishi Manula ameshinda Tuzo ya Golikipa Bora wa Mwaka.
2. Erasto Nyoni ameshinda Tuzo ya Beki Bora wa Mwaka.
3. ames Kotei ameshinda Tuzo ya Kiungo Bora wa Mwaka.
4. John Bocco ameshinda Tuzo ya Mshambuliaji Bora wa Mwaka.
5. Rashid Juma ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora Mdogo wa Mwaka.
6. Mwanahamisi Omary Shurua ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora Mwanamke wa Mwaka.
7. Erasto Nyoni ameshinda Tuzo ya Wachezaji.
8. Meddie Kagere ameshinda Tuzo ya Mfungaji Bora wa Mwaka.
9. Tuzo ya Heshima imekwenda kwa Azim Dewji.
10. Goli la Clatous Chama dhidi ya Nkana limeshinda
Tuzo ya Goli Bora la Mwaka.
11. Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Mo Simba 20
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment