Klabu ya Chelsea wameweka dau la want £130m kwaajili ya kumuachia Eden Hazard kuondoka Stamford Bridge kuelekea Real Madrid.
Madrid wanaamini thamani ya mchezaji huyo raia wa Ubelgiji si zaidi ya €100m (£88m) kutokana na mkali huyo kubakisha mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa sasa na Chelsea.
Chelsea hawana wasiwasi katika kumuuza mchezaji huyo na na majadiliano ya mpango huo yanasimamiwa na mkurugenzi wa michezo wa Chelsea mwanamama Marina Granovskaia.
http://bit.ly/2WaMe3L
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment