Klabu ya Manchester United imejitoa kwenye mbio za kumuania beki wa klabu ya Ajax Matthijs de Ligt.
Habari zilienea kuwa Man United wangemsajili beki huyo mwenye thamani ya £65m kipindi hiki cha majira ya joto.
Lakini United wamejitoa kwenye mbio hizo kutokana na uongozi wa Manchester United wanaamini beki huyo mwenye miaka 19 anajiandaa kujiunga na klabu ya Barcelona ya nchini Hispania.
http://bit.ly/2MkuWwy
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment