Imebainika kuwa Mtoto huyo alikula chakula kilichomletea shida kwenye tumbo lake na wakati huo hakukuwa na Mtu wa kumsaida nyumbani.
Baada ya Baba yake kurudi na kukutana na hali hiyo alianza kumpiga bila ya kujali ugonjwa wake lakini baada ya kuona hali ya mtoto inabadilika aliamua kumkimbiza Hospitali.
Mtoto huyo alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa Hospitalini hapo. Kesi ya Mwanaume huyo itasikilizwa Juni 3, 2019.
http://bit.ly/2HR3Abz

No comments:
Post a Comment