Search This Blog

Thursday, May 23, 2019

Rais wa Argentina apandishwa kizimbani leo


Kesi ya ufisadi dhidi ya aliyekuwa Rais wa Argentina, Cristina Fernandez imeanza hivi leo nchini Argentina. Hata hivyo amekanusha madai yanayomkabili na kusema kuwa ni vita vya kisiasa.

Bi. Cristina anashtumiwa kwa kosa la udanganyifu la kumpatia mwanabiashara mmoja kwa jina Baez, ambaye ana uhusiano wa karibu na familia ya Fernandez, mikataba bila ya kufuatilia sheria zinazofaa.

Fernandez ambaye alikuwa Rais kuanzia mwaka 2007 mpaka mwaka 2015 amekuwa akihusishwa na vitendo vya rushwa na anafanyiwa uchunguzi kuhusu shutuma nyingine.




http://bit.ly/2wek743

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...