Search This Blog

Saturday, October 16, 2021

Wizara ya Nishati kufanyiwa maboresho


Waziri wa Nishati January Makamba amesema wizara yake iko kwenye mapitio ya mifumo, miundo na watu wanaosimamia taasisi zilizo chini ya wizara hiyo.

Amesema kama itaonekana kuna haja ya kubadilisha mifumo au watu jambo hilo litafanyika kwa lengo la kuleta maboresho yenye tija.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...