Search This Blog
Monday, October 4, 2021
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kuongoza kwa muhula wa pili
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kuongoza kwa muhula wa pili, baada ya chama chake kushinda uchaguzi uliofanyika mwezi Juni mwaka huu.
Abiy ameapiswa kushika wadhida huo huku Serikali yake ikiendelea kushutumiwa kutokana na hatua yake ya kuwafukuza kutoka nchini Ethiopia maafisa Saba wa mashirika ya kimataifa ya misaada ambao walikuwa wakitoa huduma katika jimbo la Tigray ambalo limeathirika kutokana na mapigano kati ya Wanajeshi wa Serikali na wapiganaji wa jimbo hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment