Search This Blog

Monday, October 4, 2021

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kuongoza kwa muhula wa pili


Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kuongoza kwa muhula wa pili, baada ya chama chake kushinda uchaguzi uliofanyika mwezi Juni mwaka huu.

Abiy ameapiswa kushika wadhida huo huku Serikali yake ikiendelea kushutumiwa kutokana na hatua yake ya kuwafukuza kutoka nchini Ethiopia maafisa Saba wa mashirika ya kimataifa ya misaada ambao walikuwa wakitoa huduma katika jimbo la Tigray ambalo limeathirika kutokana na mapigano kati ya Wanajeshi wa Serikali na wapiganaji wa jimbo hilo.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...