Search This Blog
Monday, October 11, 2021
Watu zaidi ya milioni 900 wana ugonjwa wa akili duniani
Kila tarehe 10 october watu wanaadhimisha siku ya Afya ya akili duniani,kwa Tanzania mahadhimisho hayo yamefanyika "TGNP" na taasisi binafsi ya @marcusmwemezifoundation16 na kauli mbiu inasema "Afya ya Akili duniani isiyo na usawa" Sophia Samson Sanga Muuguzi katika idara ya afya na magonjwa ya akili katika hospitali ya taifa muhimbili amesema watu zaidi ya milioni 900 wana ugonjwa wa akili Duniani na kila baada ya ya sekunde 60 kuna mtu anajiua.
Aidha kwa upande mwingine amesema sababu inayosababisha watu wengi kuwa na ugonjwa wa akili ni pamoja na kufeli darasani, kutumia Madawa ya kulevya, Mapenzi na kutumia vilevi kupita kiasi "watu wengi hawafahamu afya ya akili ni nini na wagonjwa wengi wenye matatizo ya akili hawawezi kujielezea mpaka inapelekea kufanya maamuzi magumu ya kujiua" sophia Sanga muuguzi hospital ya Taifa muhimbili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment