Search This Blog

Monday, October 4, 2021

Sudan yakosa huduma baada ya kuzuliwa kwa bandari


Serikali ya Sudan imesema nchi hiyo inakaribia kukosa dawa muhimu, mafuta na ngano.

Baraza la mawaziri lilisema ingawa makabila ya mashariki yana malalamiko halali, hatua yao ya kufunga bandari kuu ya Sudan kwa wiki mbili inawaathiri watu wote wa Sudan.

Aidha, Imeahidi kutafuta suluhu la kiuchumi na kutengwa kisiasa kwa eneo la mashariki mwa Sudan na kuwataka waandamanaji kujiunga na mazungumzo.

Tayari Sudan ilikuwa na upungufu, uliotakana na mzozo wa kiuchumi uliosababishwa na kupinduuliwa kwa Rais Omar al-Bashir, mwaka 2019.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...