Search This Blog

Monday, October 18, 2021

Mvua yaua na kujeruhi Katavi


Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyeshwa kwa muda wa dakika 30 Kijiji Cha Majimoto halmashauri ya Mlele Mkoani Katavi Jumapili Oktoba 17, 2021 imesababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi huku ikiwa imesababisha hasara ya mamilioni kwa wafanyabiashara baada ya kubomoka kwa majengo ya kuhifadhia mpunga na Mchele na kuloana kwa mazao hayo.

Wakizungumza na wasafi Media wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda walioathirika wamesema kwa tathmini za haraka haraka baadhi yao wamepata hasara ya kupoteza mizigo yenye thamani ya zaidi ya milioni Mia tatu
 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...