Search This Blog

Tuesday, October 12, 2021

Mchezo wa Simba na Polisi Tanzania wapelekwa mbale

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba uliotarajiwa kuchezwa Oktoba 20 sasa unatarajiwa kuchezwa Oktoba 27.

Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) imeeleza kuwa sababu kubwa ni changamoto ya usafiri kwa Simba ambayo inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.

Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...