Search This Blog

Friday, October 8, 2021

Maria Ressa na Dmitry Muratov watangazwa washindi wa Tuzo ya amani ya Nobel 2021


Kamati ya Nobel ya Norway imeamua kutoa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka wa 2021 kwa Maria Ressa na Dmitry Muratov kwa juhudi zao za kulinda uhuru wa kujieleza, ambao ni nguzo muhimu kwa demokrasia na amani ya kudumu.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...