Search This Blog

Monday, October 4, 2021

Korea Kaskazini yarejesha mawasiliano ya simu na Korea Kusini



Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA), Nchi hiyo imeamua kufungua laini zote za Mawasiliano ya Simu na Korea Kusini kuanzia leo, Oktoba 4


Ripoti zimesema uamuzi huo ulitangazwa baada ya ahadi iliyotolewa na Kiongozi Kim Jong-Un ikiwa kama juhudi za kutimiza matarajio na hamu ya Wananchi wote ambao wanataka kuona uhusiano kati ya Kaskazini na Kusini unarejeshwa


Uhusiano kati ya Nchi hizo mbili hauko vizuri tangu mkutano kati ya Korea Kaskazini na Marekani kutofikia makubaliano mapema Mwaka 2019.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...