Search This Blog

Sunday, October 10, 2021

Ditopile: Wanawake wa Dodoma tunasimama na Rais Samia

MBUNGE wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ni miongoni mwa viongozi ambao wamejitokeza katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention jijini Dodoma.


"Ni wajibu wetu kuwa hapa na kumuunga mkono Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuliinua Taifa hili kiuchumi na kulilinda dhidi ya UVIKO-19, sisi Wanawake wa Dodoma tunamuelewa na tunasimama nae," Mbunge Ditopile.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...