Search This Blog
Friday, October 8, 2021
Diamond Platnumz kuanza tour yake leo nchini Marekani
Supastaa 'Naseeb'Diamond Platnumz anatupa karata yake ya kwanza leo mjini Atlanta kwenye tour yake ya kimuziki nchini Marekani.
Kwa mujibu wa ratiba yake Diamond anatarajia kufanya show 11 nchini humo katika miji mbalimbali. Tour hiyo inayoanza leo Ijumaa Oktoba 8, itafikia tamati Oktoba 31, 2021.
Aidha, Diamond Platnumz amerejea Marekani ikiwa ni miezi kadhaa tangu akanyange ardhi hiyo, alipohudhuruia hafla ya utoaji wa tuzo za BET 2021 ambapo alikuwa anawania tuzo ya Best International Act.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment