Search This Blog

Wednesday, September 1, 2021

Waziri wa Mifugo na Uvuvi amteua Profesa Lughano Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Veterinari


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemteua Profesa Lughano Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Veterinari Tanzania.

Kusiluka ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe anachukua nafasi hiyo iliyokuwa inashikiliwa na Profesa Rudovick Kazwala.

Uteuzi huo utaanza leo Jumatano Septemba kwa kipindi cha miaka minne.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...