Search This Blog

Wednesday, September 1, 2021

Uamuzi wa kesi ya ugaidi dhidi ya mbowe leo


Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Septemba 1, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anayetaka imwachie huru kwa kuwa haina mamlaka ya kusikiliza mashtaka ya ugaidi dhidi yake.

Mbowe, anayekabiliwa na mashtaka sita ya uhujumu uchumi na ugaidi, amekuwa rumande kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa akisubiri hatima yake.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...