Search This Blog

Thursday, September 16, 2021

Waziri Ummy aridhishwa na Ujenzi wa jengo la utawala Kibiti


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa a Serikali za Mitaa Mhe Ummy Mwalimu ameridhishwa na Ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani.

Akikagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa,  na Halmashauri  ya Wilaya ya Kibiti leo Waziri Ummy ametoa siku 30 kukamilisha ujenzi uliobak na watumishi wa Halmashauri hiyo kuhama katika Ofisi hizo

Waziri Ummy ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kuhakikisha inatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za wakuu wa Idara

Aidha Ujenzi wa Jengo la Utawala lhadi kukamilika  unakadidiwa kugharimu kiasi cha shilingi  bilioni 5.6 na mpaka Sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 98




 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...