Search This Blog
Tuesday, September 21, 2021
Waziri Mkuu Majaliwa azindua jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipozindua jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, Septemba 20, 2021. Wa nne kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, wa tatu kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mika na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, David Silinde, wa tatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Jenerali Charles Mbuge, kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kyerwa, Rashidi Mwaimu, kulia ni Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Kyerwa, Daniel Damian.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, Septemba 20, 2021. Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kyerwa, Rashidi Mwaimu, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Jenerali Charles Mbuge, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, David Silinde na Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye vuiwanja vya Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera kuzindua ofisi hiyo, Septemba 20, 2021. Kushoto ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment