Search This Blog

Sunday, September 19, 2021

Waziri Mkuu Majaliwa atembelea kiwanda cha Kahawa cha Ngara Coffee

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. Kulia ni Mkewe Mary  Majaliwa na wa pili kulia ni Mkurugenzi wa kiwanda, Abdallah Seif.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. Kulia ni  Mkurugenzi wa kiwanda, Abdallah Seif. 

Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kutembelea Kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya Mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...