Search This Blog
Sunday, September 19, 2021
Waziri Mkuu Majaliwa atembelea kiwanda cha Kahawa cha Ngara Coffee
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. Kulia ni Mkewe Mary Majaliwa na wa pili kulia ni Mkurugenzi wa kiwanda, Abdallah Seif.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. Kulia ni Mkurugenzi wa kiwanda, Abdallah Seif.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kutembelea Kiwanda cha Kahawa Ngara Coffee akiwa katika ziara ya Mkoa wa Kagera, Septemba 19, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment