Msemaji waTaliban, Syed Zekrullah Hashmi amesema hawaondoi uwezakano wa kuwashirikisha Wanawake katika Serikali yao japo sio lazima kwa Wanawake kuwepo kwenye Baraza la Mawaziri
Serikali mpya ya Taliban imetangaza kuwaruhusu Wanawake Nchini #Afghanistan kuendelea na masomo yao katika Vyuo Vikuu lakini Madarasa yatatenganishwa na watatakiwa kuvaa mavazi ya dini
Abdul Baqi Haqqani ametangaza sera hiyo mpya katika mkutano na Waandishi Habari, siku chache baada ya Taliban kutangaza Serikali mpya
No comments:
Post a Comment