Search This Blog

Friday, September 24, 2021

Sabaya atinga na jezi ya Yanga mahakamani


Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Arusha  kusikiliza kesi inayowakabili.

Sabaya akiwa amevaa jezi ya timu ya Yanga na wenzake wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Septemba 24, 2021 wakikabiliwa na mashtaka matano katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 27 ya mwaka 2021 kiwemo kosa la utakatishaji fedha Sh 90 milioni.

Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo,Sylvester Nyegu,Jackson Macha na Nathan Msuya.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...