Search This Blog

Monday, September 13, 2021

Rais amteua Makame Mbarawa kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (Mb), kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.

Prof. Mbarawa anachukua nafasi ya Mhandisi Dkt. Leonard Madaraka Chamuriho (Mb), ambaye uteuzi wake umetenguliwa.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...