Search This Blog
Monday, September 13, 2021
Rais amteua Makame Mbarawa kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (Mb), kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
Prof. Mbarawa anachukua nafasi ya Mhandisi Dkt. Leonard Madaraka Chamuriho (Mb), ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment