Search This Blog

Sunday, September 19, 2021

Mndeme atoa siku tatu kwa Wizara ya Maji

 


Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kufika Newala siku ya Jumatatu tarehe 20 Septemba, 2021 katika mradi wa maji Makonde ambao haujatoa maji kwa takribani wiki tatu sasa.


Amesema hayo baada ya kutembelea kituo cha kupokea maji kutoka kwenye chanzo cha maji Mkunya na kujionea mashine zikiwa zimeharibika.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...