Search This Blog
Saturday, September 25, 2021
Dkt.Gwajima amekagua ujenzi wa jengo maalum la mionzi ya saratani katika hospital ya Rufaa Kanda ya kasikazini KCMC
Waziri Wa Afya Maendekeo ya jamii jinsia wazee na watoto Dkt Dorothy Gwajima amekagua ujenzi wa jengo maalum la mionzi ya saratani katika hospital ya Rufaa Kanda ya kasikazini KCMC kwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi
Dkt Gwajima amesema kuwa serikali imejipanga kuboresha huduma katika hospitaki za kanda ya kasikazini Kilimanjaro,Mbeya Musoma Mwanza Na Hospirali ya Chato ili kuwapunguzia adha wagonjwa kusafiri kwenda jijini Dar es salaam kufuata huduma ya mionzi.
Amesema kuwa serikali ya awamu ya tano inayo ongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeweka mikakati ya kuboresha huduma za afya mijini na vijijini ikiwemo kujenga majengo maalumu ya mionzi ya saratani ili wagonjwa wapatiwe matibabu kwenye maeneo yao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment