Search This Blog

Sunday, September 12, 2021

Dkt. Ashatu Kijaji ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Ndungulile atenguliwa


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb), kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Dkt. Kijaji anachukua nafasi ya Dkt. Faustine E. Ndugulile (Mb), ambaye uteuzi wake umetenguliwa.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...