Search This Blog

Thursday, September 9, 2021

Biashara United kibaruani leo dhidi ya FC Dikhil ya Dijibout


WANAJESHI wa mpakani, Biashara United leo wanakibarua cha kusaka ushindi mbele ya FC Dikhil ya Dijibout utakaochezwa Stade du Ville.


Mchezo huo utachezwa leo Septemba 10, saa 9:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. 


Kwa mujibu wa Katibu wa Biashara United,  Haji Mtete amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo huo na watapambana kupata matokeo chanya.


"Tupo tayari kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya FC Dikhil na tunajua kwamba haitakuwa kazi rahisi tutafanya vizuri,".


Biashara United ya Mara ni mara yao ya kwanza kushiriki mashindano ya kimataifa baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...