Search This Blog

Friday, August 13, 2021

Tanzania: Mwenyekiti wa Kampuni za Asas afariki dunia


Mwenyekiti wa Kampuni za Asas Group, Alhaj Faraj Ahmed Abri amefariki dunia Leo Ijumaa Agosti 13, afajiri, akiwa Jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika familia hiyo, Mzee Abri ambaye ni baba mzazi wa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Abri Asas, maziko yatafanyika leo baada ya Swala ya adhuhuri katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...