Search This Blog

Tuesday, August 24, 2021

Rais wa Tunisia aongeza muda wa kusimamishwa Bunge



Rais Kais Saied ameongeza muda kusimamishwa kwa Bunge. Mwezi Julai, alimfuta kazi Waziri Mkuu na kuchukua Mamlaka ya Utendaji, hatua ambayo Wapinzani walisema ni Mapinduzi


Ikiwa ni Mwezi mmoja baada ya kufanya maamuzi hayo, Rais Saied bado hajateua Waziri Mkuu mpya au kutangaza Mwongozo ambao umekuwa ukidaiwa na Washirika wa ndani na nje ya #Tunisia


Amesema alihitaji kuingilia kati ili kuokoa Nchi hiyo yenye changamoto mbalimbali ikiwemo ufisadi. Hali katika Taifa hilo imezidi kudorora kutokana na Janga la #Corona



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...