Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa Ikulu, Dar es Salaam anapokea ripoti ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 2020
Katika Uchaguzi huo, Mgombea wa CCM, Hayati John Magufuli akiwa na Samia Suluhu kama Mgombea Mwenza walishinda
Machi 17, 2021 Rais Magufuli alifariki na aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu akaapishwa kuwa Rais
No comments:
Post a Comment