Search This Blog

Monday, August 9, 2021

Rais Samia afunguka kuhusu kesi ya Mbowe


Rais Samia amesema mashtaka dhidi kiongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe hayajachochewa na siasa
Amesema wenzake ambao alituhumiwa nao tayari wako jela wakitumikia vifungo vyao na yeye alikuwa huru kwa sababu upelelezi dhidi yake ulikuwa haujakamilika


Rais amesema Mbowe alikuwa Kenya na aliporudi nchini alitafuta shughuli za kisiasa ili apate kisingizio atakapokamatwa



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...