Search This Blog

Sunday, August 1, 2021

Rais Samia afanya uteuzi wa wakurugenzi


Rais Samia Suluhu amewateua Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya ambapo miongoni mwa walioteuliwa ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam kabla ya kuhamishiwa Kinondoni Spora Liana ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, swipe kuona teuzi zote.









No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...