Search This Blog

Monday, August 2, 2021

Breaking: Moto umezuka katika jengo la kituo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Msamvu Morogoro




Moto umezuka leo katika jengo la kituo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Msamvu mkoani Morogoro na kusababisha mji mzima wa kutokuwa na umeme. Moto huo unaelezwa kuanza majira ya saa 2 asubuhi ya leo.


Jeshi la zimamoto na uokoaji liliwahi eneo la tukio na kudhibiti moto huo, Mbaka sasa chanzo chake hakijafahamika bado.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...