Search This Blog

Tuesday, August 24, 2021

Rais Mteule wa Zambia kuapishwa leo


Kiongozi mkongwe wa upinzaji nchini Zambia, Hakainde Hichilema anatarajiwa kuapishwa kuwa rais baadaye Jumanne, akiinua matumaini kwa wanasiasa wengine wa upinzani katika mataifa mengine ya Kiafrika kwamba wao pia wanaweza kuingia madarakani.

Bw. Hichilema alimshinda Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa uliofanyika siku chache zilizopita.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...