Search This Blog

Tuesday, August 31, 2021

Rais Hichilema awaapisha Wakuu wapya wa Jeshi na Polisi, IGP atetemeka ashindwa kuapa


Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewaapisha Wakuu wapya wa Jeshi na Polisi aliowateua Agosti 29, 2021 baada ya kuahidi kukomesha ukatili wa Polisi uliokuwa ukifanywa wakati wa utawala wa Rais aliyepita.

Miongoni mwa walioapishwa ni Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi Zambia (IGP) Remmy Kajoba ambaye hata hivyo alishindwa kusoma kiapo hadi mwisho baada ya kuanza kutetemeka mikononi ambapo Rais alimuomba Mtu mwingine amsomee kwa niaba yake na kukamilisha kiapo.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...