Search This Blog

Tuesday, August 31, 2021

Kamati ya Maadili: Askofu Gwajima kukataa vitu vilivyoandaliwa ni ujeuri


Kamati ya Maadili imetafsiri kitendo cha Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri

 
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti siku ya kwanza na siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa


Aidha alikataa kujibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa alizungumza kama kiongozi wa dini



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...