Search This Blog
Friday, August 20, 2021
Mwenge wa uhuru wakataa kuzindua kiwanda kinondoni
Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Luteni Josephine Mwambashi amekataa kuweka jiwe la msingi katika mradi wa kiwanda cha kuzalisha mbolea kilichopo Mabwepande wilayani Kinondoni mkoani Dar es salaam.
Luteni Mwambashi amesema Mwenge wa Uhuru hauwezi kuzindua mradi huo kutokana na kutokuwepo kwa nyaraka zonazoonesha matumizi ya shilingi milioni 800 zilizolipwa na Manispaa ya Kinondoni katika mradi huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment