Search This Blog

Friday, August 20, 2021

Mwenge wa uhuru wakataa kuzindua kiwanda kinondoni


Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Luteni Josephine Mwambashi amekataa kuweka jiwe la msingi katika mradi wa kiwanda cha kuzalisha mbolea kilichopo Mabwepande wilayani Kinondoni mkoani Dar es salaam.

Luteni Mwambashi amesema Mwenge wa Uhuru hauwezi kuzindua mradi huo kutokana na kutokuwepo kwa nyaraka zonazoonesha matumizi ya shilingi milioni 800 zilizolipwa na Manispaa ya Kinondoni katika mradi huo.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...