Search This Blog
Friday, August 27, 2021
Mbaroni kwa mauaji ya walinzi wawili
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia mtuhumiwa mmoja Mohamed Jumaa (37) mkazi wa Kariakoo kwa mauaji ya walinzi wawili wa Kampuni ya Ulinzi ya Lock Fort Security, Eliakim Morali (30) na Saunkoo (35) Bakari.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumnne mtuhumiwa huyo inadaiwa aliwaua walinzi hao jana Agosti 26 ,2021 katika eneo la Tungi, Kigamboni kwa kuwagonga na Lori kwa makusudi.
Kamanda Muliro amesema taarifa zinaonesha mtuhumiwa huyo alishindwa kesi ya madai mahakama Kuu iliyofunguliwa na Benki ya Access baada ya kushindwa kulipa mkopo aliochukua katika Benki hiyo kwa wakati na kutolewa amri ya kuuzwa kwa kituo chake cha mafuta cha JM Petrol Station kilichopo Kigamboni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment