Search This Blog

Friday, August 27, 2021

Jerry Silaa aitikia wito, afika Bungeni


Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa amefika katika Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhojiwa baada ya jana Kamati hiyo kutoa ombi kwa Spika wa Bunge Job, Ndugai kutaka akamatwe.

 
Kamati hiyo iliomba kukamatwa kwa mbunge huyo na kufikishwa katika kikao cha kamati saa 4.00 asubuhi leo Ijumaa Agosti 27, 2021.

 
Silaa aliitwa kuhojiwa kwa mara ya kwanza katika kamati hiyo Agosti 24, 2021 akituhumiwa kusema uongo, kushusha hadhi na heshima ya Bunge.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...