Search This Blog
Tuesday, August 31, 2021
Kamati ya maadili ya Bunge yamtia hatiani Gwajima, apewa adhabu
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima kwa makosa ya kudhalilisha na kushushsa nafasi ya Bunge, wabunge na viongozi, kuchonganisha mhimili wa bunge dhidi ya mhimili wa serikali na wananchi na kuonesha dharau na kushusha heshima ya bunge, shughuli za bunge na uongozi wa bunge.
Baada ya kumtia hatiani, kamati hiyo imeazimia Askofu Gwajima apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili ya Bunge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment