Search This Blog

Tuesday, August 31, 2021

Kamati ya maadili ya Bunge yamtia hatiani Gwajima, apewa adhabu


Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima kwa makosa ya kudhalilisha na kushushsa nafasi ya Bunge, wabunge na viongozi, kuchonganisha mhimili wa bunge dhidi ya mhimili wa serikali na wananchi na kuonesha dharau na kushusha heshima ya bunge, shughuli za bunge na uongozi wa bunge.

Baada ya kumtia hatiani, kamati hiyo imeazimia Askofu Gwajima apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili ya Bunge.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...