Search This Blog
Tuesday, August 3, 2021
Babu wa Loliondo kuzikwa kesho Samunge
Mwili wa Mchungaji Ambikile Mwasapile maarufu Babu wa Loliondo unatarajiwa kuzikwa kesho katika Kijiji cha Samunge, wilaya ya Ngorongoro mkoa wa Arusha sehemu ambayo alikuwa akitoa tiba ya mitidawa maarufu kama kikombe cha Babu.
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Raymond Mwangwala amethibitisha taarifa hiyo akiliambia Gazeti la Mwananchi, familia imekubaliana mazishi ya Mchungaji Ambikile kuwa Samunge.
Babu wa Loliondo alifariki Julai 30 akiwa na umri wa miaka 86, aliugua nimonia kali ambayo ilimsababisha kupata changamoto ya upumuaji na kupeleka kifo chake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment