Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amesema kutokana na umri alionao haoni haja ya yeye kwenda jela kwenye kipindi hiki ambacho kuna mlipuko wa #COVID19
Kwa siku kadhaa kumekuwepo maandamano nje ya nyumba ya Zuma ambapo mamia ya wafuasi wake wamekusanyika kutengeneza ‘uzio wa watu’ ili kuzuia kukamatwa kwake
Naibu Jaji Mkuu wa Afrika Kusini, Raymond Zondo alisema Zuma lazima akumbane na mkono wa Sheria vinginevyo kutakuwa na vurugu katika Mahakama za nchini humo

No comments:
Post a Comment