Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua hatua zinazoendelea kuchukuliwa kudhibiti moto uliyotokea kwenye soko la Kimataifa la Kariakoo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala, wakati akikagua hatua zinazoendelea kuchukuliwa kudhibiti moto uliyotokea kwenye soko la Kimataifa la Kariakoo.
Muonekano wa Soko la Kimataifa la Kariakoo baada ya kuungua usiku wa kuamkia leo
Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, baada ya kukagua hatua zinazoendelea kuchukuliwa kudhibiti moto uliyotokea kwenye soko la Kimataifa la Kariakoo, Julai 11, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiongea na Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo, baada ya kukagua hatua zinazoendelea kuchukuliwa kudhibiti moto uliyotokea kwenye soko la Kimataifa la Kariako
No comments:
Post a Comment