Search This Blog

Sunday, July 18, 2021

Watu 2 wafariki kwenye ajali ya helikopta iliyotokea mkoa wa Nikolayevsk nchini Ukraine

Watu 2 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ajali ya helikopta aina ya "MI-2" iliyotokea katika mkoa wa Nikolayevsk nchini Ukraine.

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Huduma ya Dharura ya Ukraine, helikopta aina ya "MI-2" ilianguka karibu na kijiji cha Zayve katika mkoa wa Nikolayevsk.

Rubani pamoja na msaidizi wake walifariki baada ya helikopta hiyo iliyoanguka kuwaka moto.

Chanzo cha ajali ya helikopta bado kinachunguzwa.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...